SHAKA,KIKWETE WARIDHISHWA NA MADINI YA KISARAWE

KAOLIN ya Kwanza AFRIKA IPO Pwani-KIKWETE Na Wazir Wazir-Kibaha Pwani KATIKA kuendelea na Wiki ya Maonesho ya Viwanda Biashara na Uwekezaji Mkoa wa Pwani Leo 09.10.2022 Viongozi Mbalimbali wa Kitaifa wameendelea kutoa Ushauri na uelekezi wa namna Pwani inaweza kukuza na kuendesha Uchumi nchini, Akizungumza Wakati wa kukagua Banda la kisarawe Katibu wa Halmashauri Kuu